Search This Blog

Wednesday, April 1, 2015

Tuko kwenye mwaka wa uchaguzi, tuwe makini na watu wanao taka uongozi kwa nguvu nyingi, tukumbuke ikulu sio mahali pa kukimbilia. tuchague viongozi wenye nia ya dhati ya kuleta maendeleo na sio wanaotaka kunenepesha matumbo yao.

chagua mgombea umtakae bila shinikizo la mtu yeyote, pia katika katiba mpya tuisome, tuielewe na kisha tufanye maamuzi sahii kwa kupiga kura ya ndio au hapana kutegemeana na ulivyo ielewa.

No comments:

Post a Comment