Search This Blog

Wednesday, April 1, 2015

Tanzania na nchi zingine nyingi duniani zinakabiliwa na janga la ukosefu wa ajira, vijana wengi wanao maliza vyuo vikuu na vyuo vingine, wapo mtaani hawajui ch kufanya kutokana na upungufu wa ajira kataka nchi zao. lakini wewe kama kijana mwenye akili timamu na nguvu hupaswi kuzurura mtaani kutafuta ajira, badala yake ingia kwenye ujasiriamali na utafanikiwa sana kiuchumi na pia unaweza hata ukaajiri. katika nchi yetu fursa ni nyingi sana ambazo zikitumiwa vizuri zitaleta maendeleo ya mtu binafsi lakini pia kwa taifa zima.
vijana tutafute fursa za ujasiriamali tufanye kazi tuache uvivu wa mwili na wa akili ili tukaribiane na tatizo la ajira.www.facebook.com

No comments:

Post a Comment